SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, June 6, 2010

Kikao cha Viongozi wa Jumuiya ya Wanafunzi Hyderabad (TSAH) na Balozi wa Tanzania nchini India

Hapa M/kiti wa Jumuiya ya Wanafunzi Hyderabad Bw,Abdillah D.Nkya akisaini baada ya kupokea rupees 10,000/= kutoka kwa balozi ambayo aliahidi kuchangia mfuko wa jumuiya katika mahafali yaliyopita.
Balozi akifafanua jambo katika kikao hicho.
M/kiti wa Bodi (TSAH) Bw. Daniel Masimbus akifafanua jambo.
M/kiti wa Jumuiya (TSAH) Abdillah Nkya akifafanua jambo.
Haya ni Majarida ambayo Mhe.Balozi aliyatoa kwa ajili yaJumuiya
Viongozi wakipata picha ya pamoja na Mhe. BaloziKijazi baada ya kumaliza kikao
Mh. Kijazi akiwa na Mwenyekiti wa Bodi (TSAH) Daniel Masimbusi.
Hapa Viongozi wakipata picha ya pamoja baada ya kumaliza kikao nje ya Hotel L FORTUNE PARK ...Kuoka kulia ni M/Kiti wa Jumuiya TSAH Bw ABDILLAH D NKYA,wa pili ni M/Kiti wa Kamatu ya Starehe TSAH Bw. DANIEL MSEMO na wa tatu ni M/Kiti wa Bodi TSAH Bw. DANIEL MASIMBUSI
Hapa M/Kiti wa Jumuiya na M/Kiti wa Bodi wakiwa na Mjumbe wa Jumuiya Bw. Abel Tabagi nje ya Hotel ya HOTEL YA FORTUNE PARK baada ya kumaliza kikao na Balozi Mh.Kijazi.
Katika kikao hicho na Balozi Mh. Kijazi mengi yalizungumzwa kuhusiana na maendeleo ya Jumuiya ya Wanafunzi Hyderabad(TSAH)

0 comments:

Post a Comment