Hapa
M/kiti wa Jumuiya ya Wanafunzi Hyderabad Bw,Abdillah D.Nkya akisaini
baada ya kupokea rupees 10,000/= kutoka kwa balozi ambayo
aliahidi kuchangia mfuko wa jumuiya katika mahafali yaliyopita.
Hapa
Viongozi wakipata picha ya pamoja baada ya kumaliza kikao nje ya Hotel L FORTUNE PARK ...Kuoka kulia ni M/Kiti wa Jumuiya TSAH Bw ABDILLAH D NKYA,wa pili ni M/Kiti wa Kamatu ya Starehe TSAH Bw. DANIEL MSEMO na wa tatu ni M/Kiti wa Bodi TSAH Bw.
DANIEL MASIMBUSI
Hapa M/Kiti wa Jumuiya na M/Kiti wa Bodi wakiwa na Mjumbe wa Jumuiya Bw. Abel Tabagi nje ya Hotel ya HOTEL YA FORTUNE PARK baada ya kumaliza kikao na Balozi Mh.Kijazi.










0 comments:
Post a Comment