Mke
wa Rais wa Mama Salma Kikwete(aliesimama kushoto)akiongea katika
haffa ya chakula cha usiku Juni 28, 2011 huko Comoro.(wa pili kutoka
kwake) ni Mke wa Rais wa Comoro Mama Hadidja Aboubacar Ikililoi .
Baadhi
ya wageni waliohudhuria kwenye hafla ya chakula cha usiku Juni
28,2011 katika Ikulu ya Comoro, kilichoandaliwa na Mke wa Rais wa
Comoro Mama Hadidja Aboubacar Ikililoi Dhoinine(hayupo pichani) kwa
heshima ya Mke wa Rais mama Salma Kikwete
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete(kushoto)akipokea zawadi kutoka kwa Mke wa
Rais wa Comoro Mama Hadidja Aboubacar Ikililoi Dhoinine wakati
alipomtembelea nyumbani kwake mjini Comoro na kubadilishana
mawazo.(juni 28.2011)
Mke
wa Rais mama Salma Kikwete(kushoto)akiagana na Rais wa Comoro
Dr.Ikililoi Dhoinine alipomtembelae Ikulu Comoro na kuzungumza nae.
Juni 28,2011.
Kikundi
cha ngoma ya asili ya Comoro kikitumbuiza wakati wa hafla ya Chakula
cha usiku alichoandaliwa mke wa rais mama Salma Kikwete na mwenyeji
wake mama Hadidja Aboubacar Ikililoi Dhoinine Ikulu. June 28, 2011-
(Picha na Mwanakombo Jumaa - MAELEZO)
0 comments:
Post a Comment