BARCELONA Vs MANCHESTER UNITED.........
Klabu ya Barcelona ya Hispania leo inashuka dimbani kupambana na timu ya Manchester United ya Uingereza katika kuwania ubingwa wa michuano hiyo katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu itakayopigwa katika uwanja wa Wembley.
Timu ya Barcelona ikiwa chini ya kocha wake Pep Guardiola na Manchester United ikiwa chini ya Sir Alex Fegurson, zote zinatamani kutwaa taji hilo ili kukamilisha furaha za ushindi, baada ya timu hizo kuibuka videdea wa ligi katika nchi zao.
Klabu ya Barcelona ya Hispania leo inashuka dimbani kupambana na timu ya Manchester United ya Uingereza katika kuwania ubingwa wa michuano hiyo katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu itakayopigwa katika uwanja wa Wembley.
Timu ya Barcelona ikiwa chini ya kocha wake Pep Guardiola na Manchester United ikiwa chini ya Sir Alex Fegurson, zote zinatamani kutwaa taji hilo ili kukamilisha furaha za ushindi, baada ya timu hizo kuibuka videdea wa ligi katika nchi zao.
0 comments:
Post a Comment