SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, May 28, 2011

FAINALI LIGI YA KLABU BINGWA ULAYA LEO NANI KUIBUKA MSHINDI??

BARCELONA Vs MANCHESTER UNITED.........
Klabu ya Barcelona ya Hispania leo inashuka dimbani kupambana na timu ya Manchester United ya Uingereza katika kuwania ubingwa wa michuano hiyo katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu itakayopigwa katika uwanja wa Wembley.
Timu ya Barcelona ikiwa chini ya kocha wake Pep Guardiola na Manchester United ikiwa chini ya Sir Alex Fegurson, zote zinatamani kutwaa taji hilo ili kukamilisha furaha za ushindi, baada ya timu hizo kuibuka videdea wa ligi katika nchi zao.

0 comments:

Post a Comment