Brigedia Jenerali wa JWTZ, Paul Peter Massao akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei Makao Makuu ya Jeshi hilo.
Mazungumzo
Luteni Jenerali, Paul Mella akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo vilivyotolewa na benki ya CRDB kupitia akaunti yake ya Tanzanite kwa ajili ya wapiganaji wanaokwenda kulinda amani nchini Kongo.



