SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, October 17, 2014

KAMPUNI YA COMSOFT YA UJERUMANI YA WAPIGA MSASA WAHANDISI NA WATAALAMU WA MASUALA YA USAFIRI WA ANGA BARANI AFRIKA.

  Kaimu Mkutugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT  Mr.Manfred Schmid (kushoto)wakimsikiliza kwa makini  Mkurugenzi wa Mradi wa Comsoft  Dr.Gunther Hellstrn ( kulia )wakati alipokuwa akitoa mada juu ya usimamizi wa mitambo ya ADS-B ambayo inatumika kwa ajilia ya usalama wa Anga  wakati semina iliyowahusisha wahandisi wa mamlaka ya usafiri wa Anga Barani Afrika iliofanyika leo ktika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ikiwa imeandaliwa na COMSOFT ya Ujeremani.
 Baadhi ya Wahandisi na wataalamu wa masuala ya usafiri wa anga kutoka barani Afrika wakimsikilza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT  Mr.Manfred Schmid (kushoto) wakati wa semina ya usimamizi wa mitambo ya ADS-B ambayo inatumika kwa ajilia ya usalama wa ndege ikiwa  kwenye anga husika.iliyofanyika katika hoteli ya serene leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT  Mr.Manfred Schmid  na Mkurugenzi wa Mradi wa Comsoft  Dr.Gunther Hellstrn ( kulia ) wakimsikilza kwa makini  mtaaramu wa kuongoza ndege kutoka Uganda (UGATCA) Magret Kagendo wakati alipokuwa akiuliza swali wakati wa semina iliyowashirikisha wahandisi na wataalamu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga barani Afrika iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Wahandisi na wataalamu wa masuala ya usafiri wa anga kutoka barani Afrika wakimsikilza Mkurugenzi wa Mradi wa Comsoft  Dr.Gunther Hellstrn ( kulia ) juu ya masuala ya usimamizi wa usalama wa Anga  katika semina iliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
 Kaimu Mkutugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT  Mr.Manfred Schmid (kulia)wakimsikiliza kwa makini  Mkurugenzi wa Mradi wa Comsoft  Dr.Gunther Hellstrn ( kulia )wakati alipokuwa akiongelea masuala ya usimamizi wa usalama wa Anga  katika semina iliyowahusisha wahandisi wa mamlaka ya usafiri wa Anga Barani Afrika uliofanyika leo ktika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Mkutugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT  Mr.Manfred Schmid (kulia)wakiwa miongoni mwa washiriki wa semina ya  wahandisi na wataalamu wa uendeshaji wa mamlaka ya usafiri wa Anga barani Afrika iliyofanyika leo  katika hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam,Semina hiyo imeandaliwa na kampuni ya Comsoft ya Ujerumani ambao ni wataalamu wa mitambo inayotumika  kwa ajili ya usalama ndege wakati ikiwa anga husika.

Washiriki wa semina yamasuala ya mitambo ya ADS-B amabayo inatumika kwa ajili ya usalama wa Anga na Uangalizi wa Ndege inapotoka kwenye anga husika na kwenda naga nyingine iliyo wahusisha  Wahandisi na wataaramu wa masuala ya usafiri wa anga kutoka barani Afrika ,wakifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikitolewa kwenye semina hiyo iliyoandaliwa na COMSOFT  jijini Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment