SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, January 27, 2014

WAZIRI WA AFYA, DR. SEIF, AZINDUA KITUO CHA MATIBABU YA SARATANI HOSPITALI YA AGA KHAN


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh, Dk. Seif Seleman Rashid (wa kwanza kulia) na mtoto kutoka familia ya Aga Khan (wa kwanza kushoto) wakikata utepe wakati wa uzinduzi wa huduma ya matibabu ya saratani kwa mara ya kwanza katika hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam. Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa hospitali hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh. Dk. Seif Seleman Rashid akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma ya matibabu ya saratani kwa mara ya kwanza katika Hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam. Uzinduzi huo uliohudhuriwa na mtoto kutoka familia ya familia ya Aga Khan, Zahra ulifanyika katika ukumbi uliopo hospitalini hapo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh, Dk. Seif Seleman Rashid (kulia) akibadilishana mawazo na mtoto kutoka familia ya Aga Khan, Zahra, wakati wa uzinduzi wa huduma ya matibabu ya saratani kwa mara ya kwanza katika hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam. Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa hospitali hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh, Dk. Seif Seleman Rashid (wa pili kulia) akimjulia hali mmoja kati ya wagonjwa wakati wa uzinduzi wa huduma ya matibabu ya saratani kwa mara ya kwanza katika hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni mtoto kutoka familia ya Aga Khan, Zahra akishuhudia, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa hospitali hiyo iliyopo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh, Dk. Seif Seleman Rashid akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa matibabu wakati wa uzinduzi wa huduma ya matibabu ya saratani kwa mara ya kwanza katika hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam. 

0 comments:

Post a Comment