Kitendo hicho kinadaiwa kufanywa na mlalamikaji
katika kesi hiyo, Emmanuel Izengo (28), mkazi wa Tambukareli, Shinyanga
baada ya kutokuridhishwa na hukumu iliyotolewa bila ya mshtakiwa, Daniel
Makelezia, mkazi wa Lubaga Shinyanga na mdhamini wake, Marko Nkelezia
kuwepo mahakamani.
Katika hukumu yake, Hakimu Nyangoha alisema
mshtakiwa atakapopatikana atatumikia kifungo cha miaka miwili jela baada
ya kupatikana na hatia ya wizi wa baiskeli hiyo aina ya Neria yenye
thamani ya Sh150,000.
KWA HABARI ZAIDI
0 comments:
Post a Comment