Meneja Masoko wa Kinywaji cha Grand Malt, Fimbo Buttalah (kulia) akimkabidhi makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddy hundi ya shilingi milioni tano kama sehemu ya rambirambi zilizotolewa kwa pamoja kati ya Grand Malt ambao ni wadhamini wa Ligi kuu ya Zanzibar na Chama cha Soka Zanzibar ZFA. Kushoto ni Makamu wa rais wa ZFA Kassum Suleiman.
(Picha zote kwa hisani ya Intellectuals Communications Limited)




0 comments:
Post a Comment