Siku kama ya leo alizaliwa Mdau wa blog hii anaitwa ALLY M. CHUNDA JR., wa OSMANIA UNIVERSITY HYDERAD(SAINKPUR), Nchini INDIA.
Blogu hii inaungana na Familia yake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote katika kukutakia siku njema iliyo na Furaha, Amani na Upendo, na pia Mafanikio katika maisha yako.
Mwenyezi Mungu akujaalie Afya Njema,Maisha Marefu, Mafanikio, Busara na Hekima katika siku zote za maisha yako.
HAPPY BIRTHDAY ALLY CHUNDA!!





0 comments:
Post a Comment