Arsenal yainyuka Chelsea 3-1
Alex Song, midifirda Arsenal baada ya kufunga bao la kwanza.
Arsenal imejikita katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ya England baada ya kuizaba Chelsea 3-1.
Fabregas aliandika bao la pili
Mabao kutoka kwa Alexander Song, Nahodha Cesc Fabregas na Theo Walcott ndio yalizamisha meli ya mabingwa hao watetezi.
Bao pekee la kufutia machozi kwa Chelsea lilifungwa na Branislav Ivanovic.
Arsenal sasa wamefikisha pointi 35, katika nafasi ya pili, huku Chelsea wakiendelea kusalia katika nafasi ya nne wakiwa wa pointi 31
Arsenal imejikita katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ya England baada ya kuizaba Chelsea 3-1.
Fabregas aliandika bao la pili
Mabao kutoka kwa Alexander Song, Nahodha Cesc Fabregas na Theo Walcott ndio yalizamisha meli ya mabingwa hao watetezi.
Bao pekee la kufutia machozi kwa Chelsea lilifungwa na Branislav Ivanovic.
Arsenal sasa wamefikisha pointi 35, katika nafasi ya pili, huku Chelsea wakiendelea kusalia katika nafasi ya nne wakiwa wa pointi 31





0 comments:
Post a Comment