Meneja Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa akiongea na vyombo vya habari wakati wa kuonyesha magari 30 kati ya magari 100 yanayotolewa kwa washindi wanaoshiriki shindano la shinda Mkoko linaloendeshwa na kampuni hiyo tangia tarehe 2 mwezi wa nane na mpaka sasa magari yamebaki 15 yakiwa tayari kwa kunyakuliwa na mteja yeyote Yule wa Vodacom Tanzania.
Askari wa Usalama Barabarani akielekeza magari hayo kuingia katika eneo la kuegesha lililopo kwenye ofisi za Kampuni ya kuuza magari ya FK Motors jijini Dar es salaam leo.



0 comments:
Post a Comment