
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo
nyumbani kwa Waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia na Watoto Mhe.Sophia
Simba kufuatia kifo cha mwanaye Marehemu Leeford Simba huko Mikocheni
jijini Dar es Salaam.Marehemu Leeford Simba anatarajiwa kuzikwa jana
katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Marehemu Leeford Simba
amezikwa jioni ya jana kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es
Salaam.



