Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia huku Afisa Mtendaji
Mkuu wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) Bw. Daniel Wolde Johannes
na Balozi wa Marekani nchini Mhe Alfonso Lendhardt wakimpongeza kwa
ishara hiyo ya uzinduzi wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu
ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya ufadhili ya serikali ya
Marekani kupitia MCC jana April 10, 2013 katika kijiji cha Mkoka, wilaya
ya Kongwa mkoani Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibofya kitufe huku akishuhudiwa na
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) Bw. Daniel
Wolde Johannes na Balozi wa Marekani nchini Mhe Alfonso Lendhardt
wakishuhudia uzinduzi huo wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa
miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya ufadhili ya
serikali ya Marekani kupitia MCC jana April 10, 2013 katika kijiji cha
Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika sherehe za
uzinduzi wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya kusambaza
umeme mkoani Dodoma chini ya ufadhili ya serikali ya Marekani kupitia
MCC jana April 10, 2013 katika kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani
Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Afisa Mtendaji Mkuu wa
Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) Bw. Daniel Wolde Johannes kwa
hotuba nzuri katika sherehe ya uzinduzi wa mradi wa ukarabati na upanuzi
wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya ufadhili ya
serikali ya Marekani kupitia MCC jana April 10, 2013 katika kijiji cha
Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Afisa Mtendaji Mkuu
wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) Bw. Daniel Wolde Johannes
aliyemponegza kwa hotuba nzuri ya uzinduzi wa mradi wa ukarabati na
upanuzi wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya
ufadhili ya serikali ya Marekani kupitia MCC jana April 10, 2013 katika
kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed
Gharib Bilali na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Changamoto za Milenia
(MCC) Bw. Daniel Wolde Johannes katika picha ya pamoja na viongozi na
wadau mbalimbali katika sherehe ya uzinduzi wa mradi wa ukarabati na
upanuzi wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya
ufadhili ya serikali ya Marekani kupitia MCC jana April 10, 2013 katika
kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed
Gharib Bilali na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Changamoto za Milenia
(MCC) Bw. Daniel Wolde Johannes katika picha ya pamoja na viongozi na
wafanyakazi wa shirika la umeme Tanzania(TANESCO)katika sherehe ya
uzinduzi wa mradi wa ukarabati na
upanuzi wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya
ufadhili ya serikali ya Marekani kupitia MCC jana April 10, 2013 katika
kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiondoka baada ya uzinduzi wa
mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani
Dodoma chini ya ufadhili ya serikali ya Marekani kupitia MCC jana April
10, 2013 katika kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma.
Picha na IKULU
0 comments:
Post a Comment