Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete
wakipokea maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa
wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa
kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake
Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani leo April 9,
2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete na Balozi wa
Tanzania nchini Kenya Dkt Batilda Burian wakipozi na wasichana
waliowazawadia mashada ya maua mara baada ya kutua katika uwanja wa
ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria
sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta
na Naibu Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani leo April 9, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete
wakilakiwa kwa heshima zote baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za
kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu
Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani leo
April 9, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha wageni
baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta
jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa
Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake Mhe William Ruto
katika uwanja wa michezo wa Kasarani leo April 9, 2013. Mama Salma
Kikwete na Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt Batilda Burian wamesimama
pembeni na wenyeji wao.Picha na IKULU
0 comments:
Post a Comment