Mkurugenzi
wa Idara ya Maendeleo ya Rasilimali watu Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma Dk. Faisal Issa (Kushoto) akijibu swali la muandishi wa
Habari (hayupo pichani) kuhusu wajibu wa mtumishi wa Umma kwa jamii
kulia ni Mathias Kabunduguru ambaye ni Mkurugenzi wa Sera. Mkutano huo
ulifanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo makao makuu ya ofisi hizo
zilizopo jijini Dar es Salaam.
Msemaji
wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Zamaradi Kawawa
(kulia) akimkaribisha Naibu katibu Mkuu wa ofisi hiyo HAB Mkwizu
(kushoto) ili aweze kuzungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani)
kuhusu maadhimisho ya siku ya utumishi wa Umma ya Umoja wa Mataifa na
Afrika ambayo itafanyika kuanzia tarehe 20 hadi 23 Juni mwaka huu katika
viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulifanyika
katika ukumbi wa mikutano uliopo makao makuu ya ofisi hizo.
Naibu
katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB
Mkwizu (kushoto) akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu
maadhimisho ya siku ya utumishi wa Umma ya Umoja wa Mataifa na Afrika
ambayo itafanyika kuanzia tarehe 20 hadi 23 Juni mwaka huu katika
viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam. Kulia ni Msemaji wa
Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Zamaradi Kawawa.
Baadhi
ya Wakurugenzi wa Idara kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi
wa Umma wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa ofisi hizo HAB Mkwizu (hayupo
pichani) wakati akiongea na waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya
siku ya utumishi wa Umma ya Umoja wa Mataifa na Afrika ambayo itafanyika
kuanzia tarehe 20 hadi 23 Juni mwaka huu katika viwanja vya mnazi
mmoja jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu (hayupo pichani) wakati
akiongea nao kuhusu maadhimisho ya siku ya utumishi wa Umma ya Umoja wa
Mataifa na Afrika ambayo itafanyika kuanzia tarehe 20 hadi 23 Juni mwaka
huu katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.
(Picha na Anna
Nkinda – Maelezo).
0 comments:
Post a Comment