SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, May 9, 2011

AJALI YA UMEME YAUWA WAWILI ZANZIBAR!!!

ASKARI Polisi akisaidiana na wananchi kuchukuwa mwili wa mmoja wa Marehemu Asha na Mahmeil waliokufa kwa ajali ya kunasa na Umeme katika mtaa wa kwa Haji Tumbo wakijaribu kurekebisha antena ya TV na mauti yakawakuta.
Mungu awalaze mahali pema peponi Amin.
Wananchi wa Mtaa wa kwa Haji Tumbo wakiwa na nyuso za huzuni wakishuhudia miili ya marehemu Asha na Mahmeil ikitolewa katika nyumba yao na kupelekwa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmmoja kwa uchunguzi zaidi.
Marehemu Mungu awalaze mahala pema peponi Amin.
(Habari kwa hisani ya Othman Maalim).

0 comments:

Post a Comment