SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Thursday, September 23, 2010


Dk Slaa Atia Fora Moshi...
Mapokezi makubwa kwa mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chadema Dr.Willibrod
Slaa jana mjini Moshi Kilimanjaro
Mgombea ubunge wa jimbo la Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, akiwahutubi maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi, waliojitokeza katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa jana
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (.CHADEMA), Freeman Mbowe, akiwaongoza maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi kulia kilio cha umasikini, wakati alipohutubia mkutano wa kampeni za mgombea wa urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa jana.
Picha zote na Joseph Senga.

0 comments:

Post a Comment