Kikongwe huyu Asangwile Kihaka miaka 78 ndiye anayetuhumiwa kubaka mwanafunzi wa miaka 12 anayesoma shule ya msingi mbata jijini mbeya.
WAKAZI HAO WATAKA MZEE HUYO ASIKANYAGE TENA KWENYE KATA ZAO ZA GHANA NA MBATA
WAKAZI HAO WATAKA MZEE HUYO ASIKANYAGE TENA KWENYE KATA ZAO ZA GHANA NA MBATA
Huyu ni mzazi wa binti aliyebakwa na mzee Asangwile Kihaka mzazi huyu wa binti aligoma kabisa kusogea kwenye mkutano huo cha wakazi wa ghana
Diwani wa Kata Ghana Bwana Anjelo Chavaligino akijitetea kwa wakazi wake sabababu ya kutofika katika kikao cha kwanza cha kumjadili mzee Kihaka
Mtendaji wa kata ya Ghana akishindwa kujibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na wananchi kuwa kwanini alitoa barua ya kwenda kumwekea mdhamana anayedaiwa kubaka mtoto



