SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, April 4, 2016

Mtoto aliyetengwa Nigeria kwa tuhuma za ‘Uchawi’ , afya yake yaimarika.

Mtoto aliyetengwa Nigeria kwa tuhuma za ‘Uchawi’ , afya yake yaimarika.
Miezi mitatu imepita tangu msamalia mwema “Anja Ringgren Loven” alivyomuokota mtoto wa kiume mwenye miaka 2 akiwa amedhoofika mwili kutokana kukosa chakula baada ya wazazi wake kufariki na jamii kumtenga kwa kumuona mchawi hivyo akawa anatangatanga mtaani kuokota chakula.

12936585_233268913693807_437005807816296854_n[1]
Baada kuchukuliwa na Ms Loven anayemiliki kituo cha Watoto yatima nchini Nigeria (African Children’s Aid Education and Development Foundation), na baada ya taarifa hiyo kusambaa kwenye mitandao Ms Loven alipokea mchango wa dola Milioni moja kutoka nchi mbalimbali duniani, hivi sasa mtoto huyo afya yake imeimarika na amepewa jina la HOPE.
12938156_233268983693800_1863916308926187934_n[1]


12924513_233268963693802_1754514964644956418_n[1] 
CHANZO HIKI HAPA

0 comments:

Post a Comment