SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, August 4, 2014

TAZAMA PICHA KWA MAKINI KUTOKA WIZARA YA HABARI:KWA NAMNA HII MADEREVA WATAENDELEA KUUA ABIRIA KILA KUKICHA

Basi la kamwana express likilipita lori kwa mwendo kasi karibu na eneo la Chalinze mkoani Pwani huku dereva huyo akijua sheria za bararani kuwa ni marufuku kulipita gari nyingine  na anajua wazi kuwa mbele kuna gari inakuja . Hutua hii inasababisha kukosekana kwa usalama wa abiria na raia kwa ujumla. 
Picha na Benjamin Sawe Wizara ya Habari.

0 comments:

Post a Comment