SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, March 1, 2014

YANGA WAIBUKA KIDEDEA KWA KUICHAPA AL AHLY BAO 1 KWA O

Kikosi cha timu ya Yanga SC.
Kikosi cha timu ya Al Ahly.
Mashabiki wa timu ya yanga wakiendelea kuangalia mechi ya Yanga na Al Ahly.
Hamisi Kiza (katikati mwenye jezi ya kijani) akiwania mpira.
Frank Domayo "Chumvi"akiwatoka wachezaji wa timu ya Al Ahly.
Mashabiki wa timu ya Al Ahly wakishangilia.
Timu ya Yanga leo wameibuka kidedea kwa kuizamisha Al Ahly bao moja kwa bila katika mchezo uliochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mechi hiyo ni ya raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa Afrika. Mfungaji wa Yanga ni Nadir Haroub "Cannavaro" katika dakika ya 82 kipindi cha pili.
PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL

=======*******=======

NA SHAFFIH DAUDA

LIVE MATCH CENTRE: YANGA SC 1 - 0 NACIONAL AL ALHLY FULL TIME


Mpira umekwisha Yanga wanaondoka na ushindi
90' Yanga wanaongoza bado
82' Canavaro anaipatia Yanga bao la kwanza - Yanga 1 - 0 Al Ahly
70' Zikiwa zimebaki dk 20 mchezo kumalizika milango bado migumu - Yanga 0 - 0 Al Ahly
60' Yanga 0 - 0 Al Ahly
 49' Yanga wameshapata kona tisa na zote tasa
Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 0 - 0 Al Ahly
Mpira ni mapumziko, Young Africans 0 - 0 Al Ahly - Yanga wametengeneza nafasi tatu za wazi wameshindwa kuzitumia.43' Yanga 0 Al Ahly 0.
40' Milango ya timu zote bado migumu
37’ Yanga 0 Al Ahly 0.
Dakika ya 30, Young Africans 0 - 0 Al Ahly
26' Hamis Kiiza anakosa bao la wazi hapa
24' Yanga 0 - 0 Al Ahly
18' Emmanuel Okwi anapiga shuti kali kipa anaucheza na kupata majeraha
14' Yanga 0 - 0 Al Ahly
11’ Yanga wanapata kona ya pili inaokolewa na wachezaji wa Ahly. (0-0)
10’ Penaltyyyyyy hapana Refa anakataa kwa madai mshambuliaji wa Al Ahly alijidondosha. (0-0)
09’ Msuva anacheza fyongo pale. (0-0)
07’ Yanga wametawala kati, Msuva na Niyonzima wanaonana vizuri. (0-0)
5' Yanga wanapata kona na inaokolewa na Al Ahly
3' Al Ahly wanalishambulia lango la Yanga lakini Dida anaokoa hatari
1' Young Africans 0 - 0 Al Ahly

Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya wenyeji Young Africans Vs Al AhlyKIKOSI CHA NACIONAL AL AHLY
Ekramy, Moawad, Nagiub, Wael Gomaa, Fathy, Rabea, Ashaur, Mousa Edan, Gedo, na Amri GamalKIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO
1. Deogratias Munish "Dida" - 30
2. Mbuyu Twite - 6
3. Oscar Joshua - 4
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 (C)
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 6
6. Frank Domayo "Chumvi" - 18
7. Saimon Msuva - 27
8. Haruna Niyonzima - 8
9. Emmanuel Okwi - 25
10. Mrisho Ngasa - 17
11. Hamisi Kizza - 20

Subs:
1. Juma Kaseja - 1
2. Juma Abdul - 12
3. David Luhende - 3
4. Athuman idd "Chuji" - 24
5. Hassan Dilunga - 26
6. Said Bahanuzi - 11
7. Didier Kavumbagu - 7
 
========*******========

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AL AHLY - OKWI NDANI, KASEJA AANZIA BENCHI

KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO
1. Deogratias Munish "Dida" - 30
2. Mbuyu Twite - 6
3. Oscar Joshua - 4
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 (C)
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 6
6. Frank Domayo "Chumvi" - 18
7. Saimon Msuva - 27
8. Haruna Niyonzima - 8
9. Emmanuel Okwi - 25
10. Mrisho Ngasa - 17
11. Hamisi Kizza - 20

Subs:
1. Juma Kaseja - 1
2. Juma Abdul - 12
3. David Luhende - 3
4. Athuman idd "Chuji" - 24
5. Hassan Dilunga - 26
6. Said Bahanuzi - 11
7. Didier Kavumbagu - 7

0 comments:

Post a Comment