SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Wednesday, January 22, 2014

jali nyingine yatokea asubuhi hii Mtwara.

lattest 
Taarifa iliyotufikia hivi punde ni kuhusu ajali ambayo imetokea asubuhi hii ya leo majira ya sa 12 huko Mtwara ambayo imehusisha wanafunzi wa Shule ya Secondary ya Mustapha Sabodo ambao walikua wanakimbia mchaka mchaka.
Chanzo cha ajali hiyo kinasema kuwa kuna Gari ndogo aina ya Benzi ilimgonga mwanafunzi mmoja aliyekuepo kwenye mchamchaka huo baada ya wanafunzi kuona hali hiyo katika hali ya taharuki ndipo bila kuangalia nyuma lori lingine likaja kuwagonga wengine.
Taarifa mpaka sasa ni kwamba mwanafunzi mmoja amefariki pale pale na wengine watatu wamefariki hospitali,idadi ya majeruhi mpaka sasa ni zaidi ya 20,Dereva wa Benzi amejisalimisha kwenye kituo cha polisi Mtwara,ingawa dereva wa lori amekimbia.
Millardayo.com inaendelea kufatilia taarifa hizi.

0 comments:

Post a Comment