Zaidi ya abiria elfu moja wamekwama katika kituo kikuu cha mabasi cha Ubungo kufuatia ongezeko kubwa la abiria kituoni hapo ukilinganisha na idadi ndogo ya mabasi yaliyopo huku wengine waliokata tiketi wakiendelea kutelekezwa na mabasi husika kutoonekana.
0 comments:
Post a Comment