Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad,akisalimiana na Viongozi wakati alipohudhuria katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja, wakati wa hafla ya kuapishwa Naibu Katibu Mkuu,Wizara
ya Uwezeshaji,Ustawi wa Jamii,Vijana,Wanawake na Watoto,Msham Abdula
Khamis,leo asubuhi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Msham Abdula Khamis kuwa Naibu
Katibu Mkuu,Wizara ya Uwezeshaji,Ustawi wa Jamii,Vijana,Wanawake na
Watoto, katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Unguja jana asubuhi.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora,Dk.Mwinyihaji Makame,Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Kadhi Mkuu wa Zanzibar
Sheikh Khamis Haji,wakiwa ni miongoni mwa Viongozi waliohudhuria katika
hafla ya kuapishwa Naibu Katibu Mkuu,Wizara ya Uwezeshaji,Ustawi wa
Jamii,Vijana,Wanawake na Watoto,Msham Abdula Khamis,jana asubuhi.
Mawaziri wa Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,wakiwa katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Unguja, wakati wa hafla ya
kuapishwa Naibu Katibu Mkuu,Wizara ya Uwezeshaji,Ustawi wa
Jamii,Vijana,Wanawake na Watoto,Msham Abdula Khamis,jana asubuhi.
Picha
na Ramadhan Othman,IKULU-Zanzibar
0 comments:
Post a Comment