Viongozi CCM DMV wakijadiliana jambo kabla ya kikao cha Faragha na Mhe.
Rais Kikwete leo Sept 19,2013 jijini Washington DC, Marekani.
Mh.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete Mwenyekiti CCM Taifa akielekeza jambo katika
kikao chake na uongozi wa CCM DMV. Kikao hiki kimefanyika leo Sept
19,2013 jijini Washington DC, Marekani.
Mhe. Balozi Liberata Mulamula akimsalimia Bwana George Sebo mwenyekiti wa CCM DMV.
Mhe. Rais Kikwete akiwa na Bwana DMK Mkurugenzi wa MMK MEDIA GROUP: Swahili TV, Swahili Radio na Swahilitv Blog. Picha zote na Swahili TV.
Mhe. Rais Kikwete akiwa na Bwana DMK Mkurugenzi wa MMK MEDIA GROUP: Swahili TV, Swahili Radio na Swahilitv Blog. Picha zote na Swahili TV.
0 comments:
Post a Comment