Rais Dkt Jakaya Kikwete
akiongozana na Mhe. BernardWaziri Membe na Balozi wa Tanzania nchini
Marekani, Mhe. Liberata Mulamula tayari kuelekea Capitol Hill kuendelea
na ziara yake nchini Marekani. Rais Kikwete aliwasili Washington, DC leo Jumatano Sept 18, 2013 asubuhi akitokea California
Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea na Halima Mamuya na H.V. Street wamiliki wa AmeriTan International ya Louisiana
Juu na chini ni Rais Dkt Jakaya
Kikwete akijiandaa kuingia kwenye gari kuelekea Capitol Hill kuendelea
na ziara yake nchini Marekani
Gari lililomchukua Rais Dkt. Jakaya Kikwete likiondoka kuelekea Capitol Hill.




0 comments:
Post a Comment