Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kimeamua kuandika barua kwa nchi ya China, Tanzania na Umoja wa Mataifa kupinga kitendo cha Balozi wa China kusimama jukwaani akiwa amevaa nguo za CCM na kukinadi Chama hicho kwa Wananchi wa Kishapu. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA Mh. Hezekia Wenje (Mb).
Thursday, September 19, 2013
CHADEMA: Tutapeleka Barua Umoja wa Mataifa Kupinga kitendo cha Balozi wa China kutumiwa na CCM
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Thursday, September 19, 2013
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Labels:
CHADEMA: Tutapeleka Barua Umoja wa Mataifa Kupinga kitendo cha Balozi wa China kutumiwa na CCM




0 comments:
Post a Comment