Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA Mh.Tundu Lissu alisema wamenasa taarifa za watu wa Usalama wa Taifa wakijitahidi kuwashawishi Vijana wa CHADEMA kumsaliti Lwakatare na kutengeneza ushahidi Mahakamani. Lissu pia amesema wamenasa malipo ya M-PESA toka kwa Mwigulu kwenda kwa Ludovick.




0 comments:
Post a Comment