Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania, Benjamin Michael (kushoto) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni moja mshindi wa promosheni ya MAHELA, Bw. Rugemalira Igangas (kulia) mkazi wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, katikati ni Meneja Mahusiano wa Vodacom, Bw. Matina Nkurlu. Bado shilingi milioni 251 zinaendelea kushindaniwa katika promosheni hiyo.
Afisa wa michezo ya kubahatisha nchini, Bi. Chiku Saleh, katikati pamoja na Meneja huduma za ziada wa Vodacom Tanzania, Benjamin Michael wakidhibitisha jambo wakati wa kuchezesha droo ya MAHELA inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, ambapo Rabeca Sangu mkazi wa Sumbawanga alijishindia shilingi milioni tano, kushoto ni Meneja Mawasiliano wa Vodacom, Bi. Rukia Mtingwa.




0 comments:
Post a Comment