SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, March 30, 2013

JENGO LA GHOROFA 16 JIJINI DAR LAANGUKA, WATU TAKRIBANI 60,WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

Baadhi ya watu waliowahi kufika kujaribu kutoa msaada bila mafanikio hapa wakiwa wamekwama baada ya kukosa vifaa vya kutosha.
Wahindi nao walikuwapo kutoa msaada.
Waokoaji wakijitahidi kutumia mikono kuondoa kifusi hicho ili kuweza kuwaokoa watu waliofukiwa.
Trekta likiondoa kifusi eneo la ajali.
Waokoaji wakiwa hoi.
Juhudi zinaelekea kulala.
Moja kati ya magari yaliyokuwa eneo hilo likiwa limeangukiwa na mabaki ya jengo hilo.
(PICHA KWA HISANI YA SUFIANI MAFOTO, HABARI MSETO BLOG & AUDIFACE BLOG)
Taarifa zilizotufikia ni kwamba jengo lenye ghorofa 16 lililokuwa bado linaendelea kujengwa katika makutano ya barabara ya Indira Gandhi na Morogoro jirani na Burhani limeanguka. Inasemekana katika jengo hilo kulikuwa na watu takribani 60 ambao wanahofia kupoteza maisha.

0 comments:

Post a Comment