SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Thursday, October 18, 2012

Jeshi La Polisi Limewatawanya Wafuasi Wa Kikundi Cha Kiislam Wanaodaiwa Kuwa Ni Wafuasi Wa Katibu Wa Jumuiya Na Taasisi Za Kiislam Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda Kushinikiza Aachiwe Huru .


Jeshi la polisi limetumia mabomu ya machozi kutawanya watu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa katibu wa jumuiya na taasisi za Kiislam Tanzania sheikh Ponda Issa Ponda kushinikiza aachiwe huru baada ya kushikiliwa na jeshi la polisi kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kudaiwa kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani jijini Dar Es Salaam.

0 comments:

Post a Comment