Mwalimu
Mkuu wa Shule ya Secondary Kilimangwido wilayani Pangani, Othman Mzirai
akipokea sehemu ya msaada wa vitabu vya secondari kutoka kwa Mkuu wa
kitengo cha Mahusiano benki ya NMB, Shy-Rose Bhanji ikiwa ni msaada
toka benki kwa ajili ya kusaidia shule hiyo iliyokuwa na uhaba wa
vitabu. Kulia ni Meneja wa NMB tawi la Pangani, Elisa Elikunda.
Makabidhiano yalifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki.
Monday, May 10, 2010
NMB yatoa msaada wa vitabu shule ya sekondari Kilimangwido
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Monday, May 10, 2010
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
0 comments:
Post a Comment