Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwasili
Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam jana kwa ajili ya
mazungumzo na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema kuhusu mkutano
wa hadhara wa kuhamasisha wananchi kuhusu mchakato wa katiba mpya,
utakaofanyika leo katika viwanja vya Jangwani
Showing posts with label Inspekta Jenerali Said Mwema. Show all posts
Showing posts with label Inspekta Jenerali Said Mwema. Show all posts
Saturday, September 21, 2013
Wenyeviti wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF,Freeman Mbowe wa Chadema na James Mbatia wa NCCR-Mageuzi Walivyokutana na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Said Mwema na Kukubaliana Maandamano Yaliyokuwa Yafanyike leo Yasitishwe,Mkutano Mkubwa wa Hadhara Kufanyika Jangwani Leo
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Saturday, September 21, 2013
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Labels:
Inspekta Jenerali Said Mwema,
Walivyokutana na Mkuu wa Jeshi la Polisi,
Wenyeviti wa Vyama vya Siasa



