
Mbunge wa Jimbo la Ubungo-CHADEMA,John Mnyika
---

Viongozi wa BAWACHA Taifa,
Waheshimiwa Wabunge wa viti maalum,
Viongozi wa CHADEMA Jimbo la Ubungo,
Viongozi wa BAWACHA Jimbo la Ubungo,
Waheshimiwa Madiwani wa kata na viti maalum,
Viongozi wa BAWACHA toka kata zote za Jimbo la Ubungo.
Niungane nanyi katika kumshukuru Mungu kwa kutupa uzima na kuendelea na kazi katika mwaka mpya wa 2013. Kwa wale ambao hatujakutana mwezi huu wa Januari, nitumie fursa hii kuwatakia mwaka mpya mwema wenye upendo na uwajibikaji.
Nawashukuru kwa kunialika kuzungumza machache kwenye Mkutano huu wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Jimbo la Ubungo na niwapongeze waandaaji kwa kuweza kuwakutanisha pamoja viongozi kutoka kata zote na wawakilishi wa wanachama kutoka katika matawi na misingi na BAWACHA katika mitaa mbalimbali ya Jimbo la Ubungo.
Waheshimiwa Wabunge wa viti maalum,
Viongozi wa CHADEMA Jimbo la Ubungo,
Viongozi wa BAWACHA Jimbo la Ubungo,
Waheshimiwa Madiwani wa kata na viti maalum,
Viongozi wa BAWACHA toka kata zote za Jimbo la Ubungo.
Niungane nanyi katika kumshukuru Mungu kwa kutupa uzima na kuendelea na kazi katika mwaka mpya wa 2013. Kwa wale ambao hatujakutana mwezi huu wa Januari, nitumie fursa hii kuwatakia mwaka mpya mwema wenye upendo na uwajibikaji.
Nawashukuru kwa kunialika kuzungumza machache kwenye Mkutano huu wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Jimbo la Ubungo na niwapongeze waandaaji kwa kuweza kuwakutanisha pamoja viongozi kutoka kata zote na wawakilishi wa wanachama kutoka katika matawi na misingi na BAWACHA katika mitaa mbalimbali ya Jimbo la Ubungo.



