SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, July 20, 2014

Hafla ya kukabidhi Madarasa ya kisasa kwa Shule ya Msingi Neville iliyopo Mbokomu, Moshi Vijijini yafana sana

Sehemu ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Neville iliyopo Mbokomu, Moshi Vijijini wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya walimu wao wakati wa hafla ya kukabidhi madarasa ya kisasa yaliyofadhiliwa na wafadhili toka nchini Ufaransa wiki hii. Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa Ofisa Elimu wa Wilaya ya Moshi, Simon Sheshe na ilihudhuriwa na wabunge, Waziri Kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Susan Lyimo na Mbunge Lucy Owenya pamoja na wafadhili hao kutoka Ufaransa chini ya uongozi wa Bibi Sarah Temba-Marchand na mumewe Bw. Gabriel Marchand ambao kwa pamoja wanaongoza Chama cha Elimu kwa Kilimanjaro huko nchini Ufaransa (Education pour le Kilimanjaro - EKD).
Baadhi ya wafadhili hao wanaotoka katika Chama cha Elimu kwa Kilimanjaro huko nchini Ufaransa (Education pour le Kilimanjaro - EKD) wakiwa kwenye hafla hiyo.
Wakiwa na zawadi zao walizopewa.
Hafla hiyo ikiendelea.
Wakiwa wameshika bango lenye Ujumbe.
NA MTAA KWA MTAA BLOG

0 comments:

Post a Comment