SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, July 12, 2014

BALOZI MERO AWAANDALIA FUTARI WATANZANIA GENEVA


Balozi wa Tanzania katika Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Geneva,  Mhe.  Modest Mero (kanzu jeupe) akila futari pamoja na wageni wake mbalimbali wakiwepo watanzania waishio Geneva katika futari maalum aliyowaandalia nyumbani kwake jana. 
wageni mbalimbali wakijipakulia futari hiyo katika makazi ya Balozi
Wakina mama nao wakila futari hiyo iliyoandaliwa na Balozi pamoja na familia yake katika makazi yao mjini Geneva.
Picha cha mbalimbali za kumbukumbu na wageni waalikwa katika futari hiyo zilipigwa. Picha ya Mwisho ni Balozi Mero akiwa na mkewe na binti yao ambao ndio walikuwa waandazi wa futari hiyo.

0 comments:

Post a Comment