Ofisa muendeshaji wa Mfuko wa Pesheni wa Mashirika ya Umma (PSPF), Bw. Hadji Jamadary (kushoto) akimwelekeza kujaza fomu Shabani Maganga wakati wa maaadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.
Ofisa muendeshaji wa PSPF, Hadji Jamadary (kushoto) akiwapatia maelezo ya jinsi ya kujiunga na PSPF wakati wa mahadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.
Afisa Muendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PSPF) Bw. Lule Kasembwe (kushoto) akitoa maelekezo kwa wazee waliotembelea banda lao kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.













Nyama inaendelea Kuchomwa na Sausage.


Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Watanzania hapa Washington DC kwenye Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano.




.jpg)


























