SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Thursday, March 20, 2014

Mkazi wa Buguruni, Dar es Salaam Akamatwa na katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za dawa za kulevya aina ya Cocaine.

 Kamanda wa Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa
 
===***===
 Mkazi wa Buguruni, Dar es Salaam (Jina linahifadhiwa) amedaiwa kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za dawa za kulevya aina ya Cocaine.

Akizungumza jana, Kamanda wa Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa alisema mtuhumiwa aliwasili JNIA akitokea Brazil akipitia Ethiopia akiwa amepanda ndege ya Shirika la Ethiopia.
Alisema Machi 17, mwaka huu saa 8:25 usiku, mtuhumiwa akiwa na hati ya kusafiria AB362172 ya Tanzania, alishukiwa na polisi kuwa amemeza dawa za kulevya.
Kwa habari zaidi Bofya na Endelea.....