Msanii M To The P aliyepelekwa hospitali pamoja na marehemu Albert Mangwea, kwa sasa anaendelea vizuri na matibabu kama anavyoonekana kwenye picha katika hospitali ya Helen Joseph huko nchini Afrika ya Kusini.
Millard Ayo akiongea na M To The P alipomtembelea msanii huyo hospitalini, M To The P anasema anaendelea vizuri,
SIkiliza Hapa:-
0 comments:
Post a Comment