Zaidi ya kaya 30 zenye wakazi wanaokadiriwa kufikia 80 katika kijiji cha Buraga kata ya Bukumi wilayani butiama mkoani Mara,hazina makazi baada ya mvua kubwa kunyesha na kubomoa nyumba zao huku vyakula pia vikisombwa na maji ya mvua hiyo.
Wednesday, April 10, 2013
Zaidi ya Kaya 30 hazina makazi baada ya mvua kubomoa nyumba zao wilayani Butiama-Mara
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Wednesday, April 10, 2013
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
0 comments:
Post a Comment