Mbunge wa Jimbo la Bumbuli(CCM)na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Nishati na Madini ya Bunge Mheshimiwa January Makamba Amesema "Ukweli halisi: Rushwa imetembea sana kwenye uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA). Wabunge wa vyama VYOTE tunahusika. Hii ni aibu kwa Taifa zima!"
CREDIT TO H@ki Ngowi.
CREDIT TO H@ki Ngowi.
0 comments:
Post a Comment