Waziri wa Utalii na Mali asili Mh Ezakiel Mahige |
Waziri Maige na Naibu Balozi Chabaka wakipokea zawadi ya mpira
Asamoah Gyan alipotembelea Banda la Tanzania
Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania
Frank, Bw Issa na Bi Jestina
kiti wa bodi ya utalii ya Uganda akiwa na Bw William Byeruhanga
Waheshimiwa Ephraim Kamuntu, Najib Balala na Victorie Ndikumana
Mh Jihad akiwa na wafanyakazi wa Bodi ya utalii ya Zanzibar
Bw Meena. Bw Issa. Mh A. Jihad Naibu Balozi Chabaka, Jonathan
---
Salaam,
Leo ilikuwa ni siku ya jumuiya ya Afrika mashariki ambayo hufanyika kila mwaka katika maonyesha ya WTM hapa nchini Uingereza. Kwa kawaida sherehe hizi hufanyika katika banda la nchi ambayo ni mwenyekiti wa Afrika Mashariki, kwa hiyo mwaka huu tafrija hii ilifanywa kwenye banda la ndugu zetu wa Kiburundi.
Asanteni,
URBAN PULSE CREATIVE
0 comments:
Post a Comment