Rais Jakaya Kikwete akipokewa na mamia ya wananchi wa Mwandiga waliofurika katika sherehe za ufunguzi wa barabara.
Rais Kikwete akizindua rasmi barabara ya Mwandiga-Manyovu yenye urefu wa km 60 iliyoko mkoani Kigoma tarehe 4.7.2011.
Rais
Kikwete akikata utepe na kufungua pazia kuashiria ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwandiga-Manyovu yenye urefu wa km 60 iliyoko mkoani Kigoma
tarehe 4.7.2011.Picha zote na John Lukuwi
0 comments:
Post a Comment