Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Balozi wa Finland nchini Tanzania, Juhan Toivonen ,
wakati alipofika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo Julai 04, 2011
kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi ya kitabu kutoka kwa Balozi wa Finland nchini Tanzania,
Juhan Toivonen , wakati alipofika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam
leo Julai 04, 2011 kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda
wake nchini.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Dkt. Guido Herz,
wakati alipofika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo Julai 04, 2011
kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini.Muhidin
Sufiani-Ofisi Ya Makamu Wa Rais
0 comments:
Post a Comment