Waziri
wa Viwanda,Biashara na Masoko Dr. Cyril Chami (kushoto) akizungumza
na baadhi ya waigizaji wa filamu nchini kwenye viwanja vya Bunge Mjini
Dodoma jana. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk. Cyril Chami akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya waigizaji wa filamu nchini waliokwenda Bungeni
mjini Dodoma jana.Kushoto kwake ni Mbunge wa Viti Maalum,Vicky
Kamata.
Picha na Ofisi Ya Waziri Mkuu
0 comments:
Post a Comment