Balozi
wa Tanzania nchini Uingereza, Peter A. Kallaghe na familia yake
walipata mwaliko maalum katika ofisi ya Waziri Mkuu nchini Uingereza
mheshimiwa David Cameroon 10 Downing street, London siku ya Jumamosi
tarehe 11/6/2011 kuhudhuria “Trooping The colour”, Parade maalum ya
kila mwaka ya kuadhilimsha siku ya kuzaliwa kwa Malikia Elizabeth II.
Asanteni, imetumwa na
Urban Pulse Creative.
Balozi Peter kallaghe akiwa na familia yake nje ofisi na makazi ya Waziri Mkuu wa Uingereza.
Malkia Elizabeth ll katika gari la kuvutwa na farasi.
Parade ya nguvu.
Picha ya pamoja Mh. Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameroon na familia ya Balozi Kallaghe.
0 comments:
Post a Comment