Baadhi
ya wafanyakazi wa Benki ya KCB Tanzania wakimwagilia maji katika moja
ya mti waliyopanda wakati wa wa uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti
21,000 kuadhimisha siku ya jamii na mazingira duniani uliofanyika
katika Kijiji cha Msongola Chanika jijini Dar es Salaam.
Mkuu
wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya KCB Tanzania Christine
Manyenye akiwaongoza wafanyakazi wenzake kupanda miti wakati wa
uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti 21,000 kuadhimisha siku ya jamii na
ya mazingira duniani iliyofanyika katika Kijiji cha Msongola, Chanika
jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Benki ya KCB Tanzania Edmund Mndolwa (Kushoto)
akimwagilia maji mti alioupanda wakati wa uzinduzi wa kampeni ya
upandaji miti 21,000 kuadhimisha siku ya jamii na mazingira duniani
uliofanyika katika Kijiji cha Msongola Chanika jijini Dar es Salaam.
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa KCB Tanzania
Christine Manyenye.
Diwani
wa Kata ya Msongola Angela Malembeka akipanda mti wakati wa uzinduzi
wa kampeni ya upandaji miti 21,000 kuadhimisha siku ya jamii na
mazingira duniani uliofanyika katika Kijiji cha Msongola Chanika jijini
Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya KCB Tanzania
Moezz Mir na katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa
benki hiyo Christine Manyenye.
Wafanyakazi
wa Benki ya KCB Tanzania wakigawa juisi kwa wanafunzi wa Shule ya
Msingi Msongola walioshiriki uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti
21,000 kuadhimisha siku ya jamii na mazingira duniani uliofanyika
katika Kijiji cha Msongola Chanika jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment