SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, June 17, 2011

BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KUCHUMI LAKABIDHI VYETI KWA WAJASIRIAMALI MKOANI MTWARA!!

Katibu Mtendaji wa Baraza La Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Dr. Anacleti Kashuliza akihutubia katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Ndugu Emanueli Kamba akizungumza katika hafla hiyo
Mgeni rasmi katika hafla ya kuwakabidhi vyeti Wajasiriamali wa Zao la Korosho, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Anatory Tarimo akizungumza na wajasiriamali kwa msisitizo katika hafla hiyo.
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mtwara  Mh. Anatory Tarimo akimkabidhi cheti cha utambulisho kwa Baraza mmoja wa Wajasiriamali katika hafla hiyo.
Edward Kessy
Afisa Habari na Ushawishi
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI.

0 comments:

Post a Comment