SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, May 29, 2011

STELLA MBUGE ATWAA TAJI LA MISS VODACOM DAR INDIAN OCEAN 2011

Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011 Stella Mbuge katika pozi.
Washiriki wakiwa jukwaani na Vazi la Jioni.
Prakatatumba tumba Prakata tumba tumba…… Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Diamond a.k.a Rais wa Wasafi akitoa burudani ya aina yake katika shindano hilo.
Wadau wakifuatilia shindano hilo kwa umakini.
Walimbwende waliofanikiwa kuingia TOP 5.
Tano bora wakiwa katika pozi na Mlimbwende wa Miss Dar Indian Ocean 2010 Alice Lushiku aliyekabidhi taji lake usiku wa kuamkia leo.
Kipindi cha Maswali na Majibu kwa walimbwende waliotinga TOP 5.
Panel ya majaji wakiwa kazini akiwamo Brother Benny Kisaka ( wa kwanza kulia).
Mshindi wa tatu Renalda Apolei baada ya kutangazwa.
Jamani looh…..hata siamini kama nimeshinda taji hili…. Ndivyo anavyosema Stella Mbuge baada ya kutangazwa kuwa mshindi namba moja wa Taji la Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011 huku machozi ya furaha yakimtoka.
Furaha ya ushindi wa ndugu yetu.
Miss Dar Indian Ocean 2010 Alice Lushiku katika pozi akisubiri kukabidhi taji hilo kwa Stella Mbuge.
Miss Dar Indian Ocean Alice Lushiku 2011 akikabidhi taji kwa Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011.
Miss Dar Indian Ocean 2010 Alice Lushiku akipata picha ya kumbukumbu na Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011 Stella Mbuge.
Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011 Stella Mbuge (katikati) mshindi wa pili Hamisa Masano (kulia) na mshindi wa tatu Renalda Apolei wakitoa tabasamu bashasha katika picha ya pamoja.
Wadau wakitazama shindano hilo.
Mshindi wa pili  Miss Dar Indian Ocean Hamisa Masano akiwa ndugu, jamaa na marafiki waliokuja kumpa support. 
Credit kwa Mo Blog

0 comments:

Post a Comment