Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011 Stella Mbuge katika pozi.
Washiriki wakiwa jukwaani na Vazi la Jioni.
Prakatatumba
tumba Prakata tumba tumba…… Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Diamond
a.k.a Rais wa Wasafi akitoa burudani ya aina yake katika shindano hilo.
Wadau wakifuatilia shindano hilo kwa umakini.
Walimbwende waliofanikiwa kuingia TOP 5.
Tano
bora wakiwa katika pozi na Mlimbwende wa Miss Dar Indian Ocean 2010
Alice Lushiku aliyekabidhi taji lake usiku wa kuamkia leo.
Kipindi cha Maswali na Majibu kwa walimbwende waliotinga TOP 5.
Panel ya majaji wakiwa kazini akiwamo Brother Benny Kisaka ( wa kwanza kulia).
Mshindi wa tatu Renalda Apolei baada ya kutangazwa.
Jamani
looh…..hata siamini kama nimeshinda taji hili…. Ndivyo anavyosema
Stella Mbuge baada ya kutangazwa kuwa mshindi namba moja wa Taji la Miss
Vodacom Dar Indian Ocean 2011 huku machozi ya furaha yakimtoka.
Furaha ya ushindi wa ndugu yetu.
Miss Dar Indian Ocean 2010 Alice Lushiku katika pozi akisubiri kukabidhi taji hilo kwa Stella Mbuge.
Miss Dar Indian Ocean Alice Lushiku 2011 akikabidhi taji kwa Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011.
Miss Dar Indian Ocean 2010 Alice Lushiku akipata picha ya kumbukumbu na Miss Vodacom Dar Indian Ocean 2011 Stella Mbuge.
Miss
Vodacom Dar Indian Ocean 2011 Stella Mbuge (katikati) mshindi wa pili
Hamisa Masano (kulia) na mshindi wa tatu Renalda Apolei wakitoa tabasamu
bashasha katika picha ya pamoja.
Wadau wakitazama shindano hilo.
Mshindi wa pili Miss Dar Indian Ocean Hamisa Masano akiwa ndugu, jamaa na marafiki waliokuja kumpa support.
Credit kwa Mo Blog
Credit kwa Mo Blog
0 comments:
Post a Comment