SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, May 30, 2011

MAKAMU WA RAIS DK. GHARIB BILAL AHUDHURIA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA NIGERIA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na mkewe Mama Zakia Bilal, kuelekea Uwanja wa Igol Square, kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais mpya wa Nigeria, Dkt. Goodluck Ebele Azikiwe Jonathan, aliyeapishwa jana Mei 29 jijini Abuja Nigeria. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal na Mkewe Mama Zakia Bilal, wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mahadhi Juma Maalim kushoto) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanaza wa Rais Zanzibar, Fatuma Fereji, kabla ya kuelekea Uwanja wa Igol Square, kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais mpya wa Nigeria, Dkt. Goodluck Ebele Azikiwe Jonathan, aliyeapishwa leo Mei 29 jijini Abuja Nigeria.
 Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais.

0 comments:

Post a Comment